Nyumba ipo kongowe mlima wa mzinga kuanzia sh milioni 20 maongezi yapo, Ina chumba kimoja sebule jiko na choo na Kuna nafasi yakuongeza nyumba kama hio. Nitafute kwa namba +255 676 550 007..
Ili kufanikiwa katika DalaliaTz, ni lazima kila wakati na mara kwa mara utangulize maslahi ya wateja wako. Unapofanya hivyo, mahitaji yako ya kibinafsi yatatimizwa zaidi ya matarajio yako makubwa.

Hakuna maoni.